05/06/2026
Assalamu Aleykum...
Karibu sana, Kanzu Clasic za Morocco Style...
Tupo Dar es salaam Kigamboni na Zanzibar
Jipatie Kanzu za ubora wa kipeke kwa ajili ya:
- Ibada
- Nyumbani
- Kazini
- Shuhulini
Pia ni zawadi bora na ishara ya upendo kwa wapendwa wetu, ndugu, jamaa na marafiki.
Miko yote tunatuma Tanzania, pamoja na Mombasa Kenya.
Tutakusaidia kupeleka mzigo wako Kituo Cha Bus zinazokuja ulipo (Transpoer)
BEI:
Bei ya Reja Reja ni 45,000 kwa pc 1.
Bei ya Jumla Ukichukua Kuanzia Pcs 3 , ni 40,000 kwa pc 1
Karibu whatsapp tukutumie rangi na aina ili ichague unazohitaji.
Whatsapp/Call 0758 100 455 / 0784071147.
KARIBU SANA.