Gaby loves Dubai

Gaby loves Dubai Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Gaby loves Dubai, Accessories, Dar es salaam, Dar es Salaam.

💡 Huna mtaji mkubwa? Hilo si tatizo.Tatizo kubwa ni kuanza bila maarifa sahihi.Ndani ya siku 7 tu, utajifunza: 📦 Jinsi y...
15/06/2026

💡 Huna mtaji mkubwa? Hilo si tatizo.
Tatizo kubwa ni kuanza bila maarifa sahihi.
Ndani ya siku 7 tu, utajifunza:
📦 Jinsi ya kuagiza bidhaa kutoka Dubai
📦 Namna ya kupata wasambazaji sahihi
📦 Mbinu za kuepuka hasara zisizo za lazima
📦 Mfumo wa kukuza biashara yako hatua kwa hatua

🎯 Elimu sahihi inaweza kukuokoa mamilioni kabla hujaanza.

Tuma text WHATSAPP neno DUBAI👉0694579000

Au

👉 Bofya “Learn More” na jiunge leo.

Dragon Mart ni mgodi wa dhahabu kwa mfanyabiashara yeyote wa East Africa — lakini kuna masharti yake. Wafanyabiashara we...
17/05/2026

Dragon Mart ni mgodi wa dhahabu kwa mfanyabiashara yeyote wa East Africa — lakini kuna masharti yake. Wafanyabiashara wengi wanarudi Dar, Nairobi au Zanzibar wakiwa wanajuta na kulia kwa nini wameweka mitaji yao pale. Shida si kwamba Dubai haina fursa, shida ni kwamba walikosea hatua hizi ndogo lakini zenye gharama kubwa.

​Kwenye post hii, nimekuwekea makosa 5 makuu ambayo usipoyaepuka, utapoteza pesa yako:
1️⃣ Kuchanganya DM1 (Wholesale) na DM2 (Retail).
2️⃣ Kwenda muda wa jioni au wikendi wakati wauzaji wamechoka.
3️⃣ Kukubali kulipa bei ya kwanza bila kushusha kwa mbinu.
4️⃣ Kutoa pesa bila kukagua sample halisi iliyo ndani ya boksi.
5️⃣ Kununua bidhaa kabla hujampata na kumpanga wakala wako wa Cargo.

​💾 Save post hii isipotee ili uisome tena wakati wa maandalizi ya safari yako.

✈️ Share na rafiki yako au partner wako wa biashara anayepanga kwenda Dubai hivi karibuni.

​K**a unahitaji msaada wa moja kwa moja wa jinsi ya kufanya sourcing, uhakiki wa ma-supplier (verification), au kusafirisha mzigo wako salama hadi nyumbani bila usumbufu — sisi tuko hapa kwa ajili yako.

​📥 Tuma ujumbe WhatsApp sasa hivi: +255 694 579 000 au bonyeza link kwenye bio yetu.
​Follow kupata darasa k**a hili kila wiki.

MAKOSA matano YA KUEPUKA UKIMLIPA SUPPLIER WA DUBAI ❌​Eid imekaribia na najua kila mfanyabiashara anataka mzigo wake ufi...
15/05/2026

MAKOSA matano YA KUEPUKA UKIMLIPA SUPPLIER WA DUBAI ❌
​Eid imekaribia na najua kila mfanyabiashara anataka mzigo wake ufike kwa wakati ili asipitwe na soko. Lakini kuwa na haraka ndiyo njia fupi ya kupoteza mtaji wako.
​Kabla hujatuma malipo Dubai, kumbuka haya:
✅ Usilipe pesa zote mbele.
✅ Hakiki Trade License ya kampuni.
✅ Omba video call uone mzigo wako.
✅ Tuma pesa kwenye account ya kampuni (si ya mtu binafsi).
✅ Anza na oda ndogo ya majaribio.
​Supplier wa kweli hatakushinikiza ulipe kwa papara. Hatua hizi ndogo ndizo zinazotofautisha mfanyabiashara anayedumu na yule anayeibiwa kwenye oda ya kwanza.
​Una mashaka na supplier wako? Usichukue hatari. Tuma WhatsApp +255 694 579 000 — tunakusaidia kuhakiki supplier wako kabla hujabonyeza kitufe cha kutuma pesa.
​ biasharatanzania dubaiwholesale eid2026 gabylovesdubai

Dragon Mart ni "China" iliyohamia Dubai. 🐉🇦🇪Je, unajua kwanini wafanyabiashara wengi wa Dar, Mombasa na Zanzibar wameach...
11/05/2026

Dragon Mart ni "China" iliyohamia Dubai. 🐉🇦🇪

Je, unajua kwanini wafanyabiashara wengi wa Dar, Mombasa na Zanzibar wameacha safari ndefu za Guangzhou? Siri haiko kwenye umbali pekee, iko kwenye kupata maduka 4,000+ ya Wachina ndani ya korido moja ya kilometa 1.2.

Kila kitu unachoweza kuagiza China — kuanzia ujenzi, nguo, mpaka electronics — kipo hapa, dakika 20 tu kutoka airport.

Hauhitaji viza ngumu wala masaa 9 ya ndege. Unahitaji tu kujua mbinu ya kuingia Dragon Mart 1 na kupata "Direct Factory" suppliers ambao wanazungumza lugha unayoielewa.

Wafanyabiashara wajanja tayari wamebadilisha njia. Wewe bado unangoja nini?

K**a unahitaji msaada wa:
✅ Sourcing ya bidhaa bora.
✅ Kupata suppliers waaminifu.
✅ Shipping ya uhakika kuanzia Dubai.

💬 Tuma WhatsApp +255 694 579 000 au andika neno "DRAGON" hapa chini tukusaidie.

Fuata kwa tips za kila siku za kuagiza kutoka Dubai k**a professional.

dragonmart mombasabusiness zanzibarbusiness biasharaonline gabylovesdubai

Unachukua mizigo kutoka Dubai, Jeunajua utumie air au sea? 🚢✈️​Makosa mengi ya wafanyabiashara wapya yanaanza hapa: wana...
10/05/2026

Unachukua mizigo kutoka Dubai, Jeunajua utumie air au sea? 🚢✈️
​Makosa mengi ya wafanyabiashara wapya yanaanza hapa: wanaona air ni ghali sana, wanatumia sea kisha wanasubiri miezi au wanachagua air kwa mzigo mzito na wanamaliza faida yao yote kwenye shipping.

​Leo tumefafanua tofauti kuu kati ya air cargo na sea cargo, na jinsi ya kujua ipi inakufaa wewe, kulingana na aina ya bidhaa na wakati unaohitaji delivery.

​Fuata kwa maarifa zaidi ya kusaidia biashara yako ya Dubai.

​💬 Tuma WhatsApp +255 694 579 000 — tukusaidie na cargo, sourcing, na ushauri wa bure.

  all makubwa na sehemu zenye gharama kubwa, lakini k**a lengo lako ni BIASHARA au kupata bidhaa kwa bei ya kutupwa, huk...
03/05/2026

all makubwa na sehemu zenye gharama kubwa, lakini k**a lengo lako ni BIASHARA au kupata bidhaa kwa bei ya kutupwa, huko

​Kuna tofauti kubwa kati ya mtu anayeenda Dubai kutalii na yule anayeenda kutafuta fursa. Mimi nafanya 80% ya kazi zangu kwenye maeneo haya matatu (3) ambayo wengi hawayajui au wanayaogopa kwa kudhani ni mbali.

​Kwenye Carousel hii, nimekuandalia:
📍 Machimbo yanayouza bidhaa bora kwa bei ya kiwandani.
📍 Namna ya kuyafikia bila kupotea.
📍 Kwanini maeneo haya ni bora zaidi kwa mfanyabiashara wa Kitanzania.
​Sikiliza kwa makini:
Siri hizi ni kwa ajili ya wale walio serious tu. Ndio maana, k**a unavyoona kwenye picha ya kwanza, nitaitoa hii post hapa hewani baada ya masaa 24. Huu ni muda wako wa kupata "Gold Mine" ya Dubai kabla haijatoweka.

​UNATAKIWA KUFANYA NINI?
1️⃣ SWIPE MBELE sasa hivi ujionee machimbo hayo.
2️⃣ SAVE hii post haraka! Ukichelewa utaitafuta kesho na usiione.
3️⃣ DM au bonyeza link kwenye bio k**a unataka mwongozo zaidi wa jinsi ya kufika na kufanya manunuzi bila usumbufu.

​Mawasiliano:
📞 WhatsApp/Call: +255 694 579 000
📸 Follow:
​ TanzaniaBusiness

"Kwanini uhangaike kutafuta masoko ya mbali wakati Dubai ipo hapa? 🌍✈️ Leo tunazichambua sababu kuu 3 zinazoifanya Dubai...
29/04/2026

"Kwanini uhangaike kutafuta masoko ya mbali wakati Dubai ipo hapa? 🌍✈️ Leo tunazichambua sababu kuu 3 zinazoifanya Dubai kuwa kitovu cha biashara kwa wafanyabiashara wa Afrika Mashariki. Usipitwe na fursa hii! 💼📦 ❤️💞❤️

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gaby loves Dubai posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category