08/03/2022
Bobrisky ni mwanamke Mnigeria aliyebadili jinsia na tabia (LGBT), Kwa Sasa Anatambulika K**a Mwanamke na yeye Anapenda Watu wamtambue hivyo na sio Mwanaume.
sababu kubwa yeye kujibadilisha Jinsia na kuwa mwanamke Amesema ni kufungua fursa nyingi ili kujiongezea kipato zaidi.
Alisema wakati akiwa mwanaume hajabadilisha jinsia, hakuwa na pesa, na hakuna aliyeshughulika naye kwa sababu hakuwa na pesa. "Nilikuwa napambana".
"Wanawake hawajui kwa namna gani wana nguvu, wengi wao hawajui kutumia vipaji vyao k**a wanawake."
Bobrisky akaamua kwamba hataki hali hiyo , alitaka kuwa mtu anayejisimamia mwenyewe
Mama Yangu Ni mtu pekee aliyenipenda sana na kuniunga mkono nilipo badilisha Jinsia wakati kila mmoja alikuwa akinikataa."
"Pesa ni kila kitu. K**a unasema pesa sio kila kitu, unajidanganya mwenyewe. Unahitaji kuwa na hadhi fulani, ikiwemo pesa.
Mwaka 2016 Meneja wa mawasiliano wa Google Afrika Magharibi, alisema Bobrisky alikua anaongoza k**a mtu aliyesomwa na kutafutwa sana habari zake kupitia Google nchini Nigeria.
Umaarufu wake umemfanya kutumika kwenye shughuli mbalimbali za kijamii zikiwahusisha pia watu maarufu wakiwemo waigizaji.
"Wengi Mnaniuliza Je Lini Utaolewa Bob? Mwanaume ninaempenda Tayari Ameshaoa Lakini Nasubiria Ampe Talaka Mkewe Ndio aniowe Mimi, Sijui ni kwa Muda Gani Itachukua Ila Hivi Karibuni" Huo ni Ujumbe wake Ameuandika Kwenye Ukurasa Wake wa Instagram
Hivi Karibuni Ameahidi Kutembelea Nchini Tanzania 🇹🇿
Gusa Link hiyo Kisha Follow Ukurasa Wetu wa INSTAGRAM 👇
https://instagram.com/mudumoh_official?utm_medium=copy_link