25/08/2024
Magic Book, ni package ya mtoto ya vitabu vinne (kuandika, kusoma, namba na kuchora)
Mtoto akiandika au kuchora maandishi au mchoro unapotea baada ya dakika chache na kumuwezesha mtoto kurudia mara kwa mara Vitabu vina number, hesabu, herufi, mwandiko na michoro mbalimbali
Inakuja na package maalumu ya pen za kubadilisha
Bei ni tshs 23,000/= tu; kwa set ya vitabu 4 na set ya pencial zake
Tupo Mikocheni B Karibu na Shule ya Alfa na Kariakoo mtaa Congo na Kipati
Call 0767 710 468
Itasaidia mtoto kuwa na muandiko mzuri na kujua namba na herufi kwa muda mfupi, bila kusimamiwa...