Vikoi na Handbags

Vikoi na Handbags Handbags bora kwa bei nafuu

06/09/2025

Tomatine gel ni bidhaa inayotokana na tomatine, kiambato kinachopatikana katika nyanya. Inatoa matokeo kwa haraka sana . Wale mabibi harusi wanaotaka kung'ara bila mkorogo mkuje hapa. Yaani chocolate color kwa haraka sana.
Ngozi ang’avu bila stress?? Tomatine Jelly itakupa jibu πŸ’―
Call/DM tukuhudumie.

? Tomatine ndiyo jibu! πŸ™Œ
CALL 0762 400 033 AU DM

06/09/2025

Time to glow..
Francoise Bedon creme, body lotion na serum

NG'ARA K**A MALKIA ✨  Melanin yako ni hazina. Ilinde. Ipende. INg’arishe na SHEA BUTTER. 🌿SHEA BUTTER yetu ni  aina ya N...
30/08/2025

NG'ARA K**A MALKIA ✨
Melanin yako ni hazina. Ilinde. Ipende. INg’arishe na SHEA BUTTER. 🌿

SHEA BUTTER yetu ni aina ya NILOTICA..
Hii ni luxury brand ya shea butter. Tofauti na ya Ghana hii ni ya uganda. Ni luxury brand. Ni nyepesi, ina ubora zaidi na haina harufu.
INAKUPA
πŸ’§ Unyevu wa Kudumu
Ngozi laini, yenye mwangaza siku nzima.

🌸 Nguvu ya Kuponya
Huondoa makovu, michirizi na mabaka bila kubadilisha rangi ya asili.

⏳ Kuzuia Uzee
Vitamini A & E hupunguza mikunjo na mistari ya uso.

πŸ›‘οΈ Kutuliza & Kulinda
Hupunguza muwasho na hulinda dhidi ya jua na uchafuzi.

✨ Mwanga Asilia
Huongeza mng’aro wa melanin bila kemikali.

πŸ’› Chagua WEWE. Chagua Asili. Chagua Shea Butter.
TZS 13,000 | GRAM 100
KUNUNUA
πŸ“© DM | 0762400033
WAHI ZIKO CHACHE

16/07/2025

Wale wa chubby face tumewafikia sasa kwa msaada wa V FACE SCLUPTING MASK
πŸ›‘
Jamani k**a kidevu chako hakionekani basi hili ndiyo suluhisho lako. Wale wa ku contour na make up, jawabu lako liko hapa. Hii mask niπŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯

πŸ›‘MAAJABU YAKE

1️⃣Inachonga uso wako na kuondoa nyama uzembe za kidevu na uso. Uso wako unakuwa na kashape fulani amazing
πŸ›‘
2️⃣Inakaza ngozi ya uso, ya kidevu iliyotepeta au iliyonenepa na kufanya kidevu kisionekane.
πŸ›‘
3️⃣ Inasaidia kuzuia makunyanzi kuja kwa haraka na kupunguza yaliyopo
πŸ›‘
4️⃣Inaweka unyevu usoni
πŸ›‘
5️⃣Inafanya uso kuwa soft na mwororo
πŸ›‘
ZIKO CHACHE WAHI SASA
TZS 30,000 ZIKO 3.
0762400033
mask

Asali mbichi imefika..Bei lita shs 15,000 Dumu la lita 5 shs 65,000. Hii ni sawa na shs 13,000 kwa lita. Asali yetu ni m...
03/07/2025

Asali mbichi imefika..
Bei lita shs 15,000
Dumu la lita 5 shs 65,000. Hii ni sawa na shs 13,000 kwa lita. Asali yetu ni mbichi haijapikwa wala kuchanganywa na kitu chochote.
Karibuni sana.
Mawasiliano 0784268 278.

Hii siyo ice cream ni shea butter grade A.  iinapatikana kwetuBei  kwa  shs100g =10,000500g= 40,0001kg =60,000.African b...
30/07/2019

Hii siyo ice cream ni shea butter grade A. iinapatikana kwetu
Bei kwa shs
100g =10,000
500g= 40,000
1kg =60,000.
African back soap g100 sh 8,000
Karibuni sana.
SMS/TEL/WHATSAPP 0625896997 πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’– πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–
SHEA BUTTER ni mafuta ya ngozi na nywele yatokayo Africa Magharibi.
Shea butter yetu imetoka moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji walioko Ghana na haijachakachuliwa

Inafanya kazi kuu zifuatazo; *kuipa ngozi unyevu (moisturizing), *kufanya ngozi iwe nyororo (smoothing), *inasaidia katika kutibu magonjwa ya ngozi (healing)
*Hulainisha ngozi ( softening)
*inaipa ngozi ung'avu wa asili (natural glow)
Hupunguza ngozi kusinyaa na kuzeeka (wrinkles and aging)
Inasaidia kuondoa michirizi ya mimba(stretch marks)
*Inasaidia kulainisha na kurutubisha nywele

Zaidi ya kuwa ni mafuta mazuri kwa ngozi na nywele ni tiba pia.
Matumizi ;
* Husaidia kutibu magonjwa ya ngozi k**a eczema, psoriasis,
*magaga,vipele, chunusi, kubabuka ngozi. *Hupunguza kuwashwa mwilini (itching)
Inaondoa vipele vya joto

Hii siyo ice cream ni shea butter grade A.  iinapatikana kwetuBei  kwa  shs100g =10,000500g= 40,0001kg =60,000.African b...
08/05/2019

Hii siyo ice cream ni shea butter grade A. iinapatikana kwetu
Bei kwa shs
100g =10,000
500g= 40,000
1kg =60,000.
African back soap g100 sh 8,000
Karibuni sana.
SMS/TEL/WHATSAPP 0625896997 πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’– πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–πŸ’–
SHEA BUTTER ni mafuta ya ngozi na nywele yatokayo Africa Magharibi.
Shea butter yetu imetoka moja kwa moja kutoka kwa wazalishaji walioko Ghana na haijachakachuliwa

Inafanya kazi kuu zifuatazo; *kuipa ngozi unyevu (moisturizing), *kufanya ngozi iwe nyororo (smoothing), *inasaidia katika kutibu magonjwa ya ngozi (healing)
*Hulainisha ngozi ( softening)
*inaipa ngozi ung'avu wa asili (natural glow)
Hupunguza ngozi kusinyaa na kuzeeka (wrinkles and aging)
Inasaidia kuondoa michirizi ya mimba(stretch marks)
*Inasaidia kulainisha na kurutubisha nywele

Zaidi ya kuwa ni mafuta mazuri kwa ngozi na nywele ni tiba pia.
Matumizi ;
* Husaidia kutibu magonjwa ya ngozi k**a eczema, psoriasis,
*magaga,vipele, chunusi, kubabuka ngozi. *Hupunguza kuwashwa mwilini (itching)
Inaondoa vipele vya joto ******************************************
:
:
:


, , , , , , ,

Mambo mazuri yanakuja. Tutaelezana kuhusu urembo, matunzo ya ngozi vitu natural vya kutumia.Hapa ni OG tu. Fekero tupa k...
27/02/2019

Mambo mazuri yanakuja.
Tutaelezana kuhusu urembo, matunzo ya ngozi vitu natural vya kutumia.
Hapa ni OG tu. Fekero tupa kule.
Tufollow
Instagram @ jj_houseofbeauty, jj_houseofbeauty,
jj_houseofbeauty





Karibuni sana
21/09/2018

Karibuni sana

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vikoi na Handbags posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share