25/04/2022
Unajua kuwa kuvimba kwa tezi dume imekuwa changamoto kubwa kwa wanaume wengi ?
Kawaida kila mwanaume anatezi dume na kuwa nayo sio tatizo ila tatizo linakuja hivi umri unapoongezeka na tezi dume huongezeka Sasa ikiongezeka kupita kawaida kitaalamu tunaita (Prostate Enlargement) ndo hapa huanza kuleta shida mkojo hushindwa au hupita kwa shida na maumivu makali huambatana nayo Wahi sasa jiunge darasa hili kabla halijajaa ujue namna ya kutibu bila upasuaji na namna ya kuepuka tezi dume.
Pia Bawasiri inatibika bila upasuaji hili ni tatizo la kuota kinyama katika njia ya haja kubwa wakati mwingine inaotea ndani ukienda haja kinarudi na kutoka na huambatana na maumivu makali sana .
Kwa ushauri na mafunzo zaidi kariby jiunge na darasa hili