04/06/2020
MARIA WRITTEN UPDATES.
Friday on Mari
.
Luwi na Victor watakua wanafanya hesabu zao waone Kanini akizunguka kwa nyumba kumtafuta Sofia. Kanini ataenda hadi kitchen... Lorna kumwona atajificha nyuma ya Ben.
Sofia naye atakua anatoka kwa room ya William akidhani hakuna anaye mcheki...lakini Gloria atakua amejionea kila kitu.
Meja atapata kina William kwa compound awaulize "You guys are here??" Vicky atasema ndio, atamuuliza mbona Meja aseme ni part ya duty yake tu. William atamwambia shukran kwa kujali kwake. Vicky atauliza William k**a hivyo ndo wataishi William aseme it's for her own good...ni security kwake...
Mwambe atakua anatulia kwa kanyumba kake ka watchman then aone Kanini akikuja...ataanza kuropokwa akiambia Kanini ye hajasema kitu chochote, Kanini atamwambia afunge mdomo coz hata si hiyo imemleta hapo... atamuuliza k**a ameona Sofia hapo Mwambe aseme hajaona mtu yeyote hapo kwa gate. Kanini ataenda Mwambe abaki akisema things have become very complicated now...he has to think.
Thomas atauliza watanyikazi wenzake vile wamepangwa hivyo line, Kwani nini inaendelea. Koros atamwambia itakuaje wamepanda gari wote pamoja then wapate ajali huko mbele aanze kuwauliza hii ajali imetokea aje. Lorna atasema waachane na huyo gardener. Ataanza kuwapea udaku ati ghost za Kanini zimekula Sofia. Ben atawaambia waache utoto.... Thomas atamwambia a-maintain.... atauliza Lorna ati ghost za Kanini zimeduu??? Ben atawauliza wana-behave aje ni as if wajaishi na Lorna. Meja atakuja wapange laini wote haraka. William atawaambia anadhani amekua boss mzuri kwao na amewafanyia kila kitu. Kuwapea food, place ya kuishi na hata wengine analipia watoto wao Karo. But k**a iko mtu ako na hisia mbadala ajitokeze mbele aelezee mawazo yao. Hakuna mtu atajitokeza William aseme nobody will be punished because of their stand. Anataka waongee leo so if anyone has problem with him achukue hatua mbele.
Kanini atarudi spare Sofia kwa room. Atamuuliza alikua wapi Sofia aitishe maji.
William atasema juu hakuna mwenye amejitokeza basi wamwache aendelee... atasema ikiwa hayuko ama akue, there is a special person who has full authority and control in that house, huyo mtu ni Madam Vicky na ako na haki ya kuandika kazi,kufuta, kushusha na pia kupromote mfanyikazi yeyote kwa kupenda kwake. Tayari wachache wameanguka side mbaya ya madam Vicky. Ben ataambiwa hasipo chunga mwenendo wake atakatwa na frame akitoka hiyo gate. Ben atapromise kutorudia kosa lake. Dogo pia atapewa into aombe musamaha. William atamwambia arudi nyuma then aseme hawatasahau na they will not take that likely. Atawaambia amewasamehe lakini wajue kuwa William anawajua zaidi ya vile wanajijua. Vanessa atakuja aulize sasa kila mtu aliye omba musamaha amesamehewa. Vipi kuhusu Maria????
Part 2.
Kanini atauliza Sofia alikua wapi akimtafuta, hajui vile Kanini amejiuliza maswali mob.. Kanini atamwambia watoke akapunge hewa. Atamtoa nje amuulize anaonaje vile kuna hewa Safi. Sofia ataanza drama hadi aitishe glass ya champagne π. Ataanza kuita manager Kanini amtulize.
Koros ataambia Thomas vile Vicky ako na cheo sahi wanaweza rudishiwa vyeo vyao, juu kupambana na izo vitu joh. Thomas atamwambia hata hasiongelee story kupambana, ye hulima daily hapo, hata Koros akimwangalia anakaa kulima kweli...? Koros atamwambia hiyo inamfaa hata, na yeye kuosha magari na kushinda kwa gate k**a kifuliπ. Thomas atamwambia kitu anajua k**a ni kupewa promotion Maybe ikue yeye lakini si Koros. Akiwa manager alifanya vitu mob Vicky akampenda..na day atarudishwa manager atawanyorosha π. Koros atamwambia anajua kitu inamuasha ni kuona Makofia akitembea tembea huko anaifeel...ye atabaki tu kua pharaoh bila crown π.
Silas atakua amejam Rufina amuulize nini mbaya aseme ni Maggie anamfanyisha vitu zingine haziwezi...mautoi zingine... Mara amfanye massage kwa mguu, amlambe magoti..anuse makwapa πππ. Rufina atamcheka amwambie sahi Maggie anamuhitaji sana...anafaa akae karibu na Maggie hasimtoroke. Maria atatoka kuanika nguo Rufina amwangalie vibaya.
Mela ataambia Brenda siku hizi wamekaa bila kufanya ile business yao ya kutoanisha wazee pesa, siku hizi Brenda ako na different face kwa wazee... Brenda atamshika amwambie hasiwahi muuliza swali kuhusiana na hiyo... atamwambia ampe updates kuhusu Victor, Mela atasema victor hashiki calls zake wala kureply text zake. Brenda atamwambia vile time inakimbia waachane na Victor, anadai kumtumia Thomas. Atakol Thomas amwambie kuna dame anadai kubonga na yeye. Mela atapewa phone wabonge na Thomas, ataambia Thomas amesikia mengi kumuhusu kutoka kwa Brenda, atasema anataka kumualika coffee Thomas aseme shida ni schedule ni tight na walihamia nyumba mpya but anaweza tafuta time then watakua pamoja. After the call Thomas atajichocha aambie Koros life is good......to be continued....
Share after reading πππππ