Munga clothing

Munga clothing Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Munga clothing, Clothing (Brand), Dar es Salaam.

Hongera sana kaka Lema Mungu kakupa uwezo Hadi umeweza kuwa na biashara kubwa Nchini Canada na nimesikia unampango wa ku...
05/03/2023

Hongera sana kaka Lema Mungu kakupa uwezo Hadi umeweza kuwa na biashara kubwa Nchini Canada na nimesikia unampango wa kufungua ofisi Dubai hongera sana nakuwaza kufungua ofisi hapa Tanzania jiji la Arusha je hivi umewahi kujiuliza mama zetu bila kushiriki vikoba hivi wangetusomesha kweli unafikiri kila mtanzania anaweza kuwa na biashara Canada je mikopo uliyokuwa nayo kiasi Cha m400+kila mtanzania anaweza kukopesheka kiasi hicho jibu ni hapana basi k**a Mungu kakupa huo uwezo acha maramoja kejeli na fedhea Kwa mama zetu kwani vikoba vimetusaidia kusoma na hata kufikia hapa tulipo k**a siasa zimekushinda unakosa la kuwaambia wananchi wa Arusha ulikuwa mbunge wao miaka15 huna ulichofanya Sasa Leo umeondoka umekuta ccm imefanya maendeleo jimboni kwako uliposhindwa ww acha kupanic kazi Sasa zinafanyika ww Rudi Canada kasimamie biashara zako tuache watanzania mama atujengee nchi hujaona lami mianzini kwenda ngaramtoni maji umeme barabara katikakti mjini stand soko Sasa Leo utasema kitu gani tunaomba uwe na nidhmu nawazazi na chama. .mpayo.3

Amiri jeshi mkuu Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Mama Samia Suluhu Hasan katika kipindi chake Cha uongozi am...
04/03/2023

Amiri jeshi mkuu Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Mama Samia Suluhu Hasan katika kipindi chake Cha uongozi amefanya makubwa hatuna budi kuyasema
1:Ameingia madarakani kapandisha watumishi vyeo ambavyo vilisimama Kwa Miaka kadhaa
2:Katoa vibali vya ajira Kwa vijana ajira ambazo zilisimama Kwa muda mrefu mama kaajiri walimu, Askari wa idara mbali mbali k**a zimamoto,uhamiaji,na jeshi la polisi na ajira mbali mbali kila wizara.
3:Kaendeleza miradi mikubwa iliyokuwa umeanza k**a bwawa la Nyerere, reli ya umeme,miradi ya ujenzi wa barabara.
4:Karudisha demokrasia ya vyama vingi na uhuru wa vyama vya siasa na mikutano ya hadhara.
5:Kaongoza mikopo Kwa wanafunzi wa vyuo vikuu wanufaika wamepata 100%na kuwaongezea Hela za kujikimu kutoka 8500hadi10000.
6:Ujenzi wa madarasa Nchi nzima kufanya wanafunzi kidato Cha kwanza na tano kwenda shule Kwa awamu moja Nchi nzima.

Haya ni baadhi tu ya mengi yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na serikali ya mama hakika tunajivunia mama alipo mama vijana tupo@yanga@samiasuluhu@huseinbashe@mrisho gambo@mwigulunchemba@irenedaniel

Kutana na mtaalamu wa mambo ya watoto kutoka chuo kikuu Cha Dar salaam Leo tutakuandalia somo linalohusu ukuaji wa mtoto...
28/02/2023

Kutana na mtaalamu wa mambo ya watoto kutoka chuo kikuu Cha Dar salaam Leo tutakuandalia somo linalohusu ukuaji wa mtoto.
1:Michezo Ina faida gani katika ukuaji wa mtoto.
2:Michezo Ina umuhimu gani katika ukuaji wa mtoto
3:Mtoto asiposhiriki Michezo kutaathiri ukuaji wake?
Kwa haya na mengine mengi follow page hii@danielmunga ujifunze namna bora ya malezi ya mtoto wako.

Taarifa mbali mbali kutoka Africa ya Kusini zinadai Rapa  maarufu nchini humo ameuawa Kwa kupigwa risasi akijiandaa kush...
11/02/2023

Taarifa mbali mbali kutoka Africa ya Kusini zinadai Rapa maarufu nchini humo ameuawa Kwa kupigwa risasi akijiandaa kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.

Nondo ongea Kwa ushahidi hii taarifa ni yaa uongo fuatilia kwanza napenda kukuambia hakuna mwanafunzi atashindwa kufanya...
04/02/2023

Nondo ongea Kwa ushahidi hii taarifa ni yaa uongo fuatilia kwanza napenda kukuambia hakuna mwanafunzi atashindwa kufanya mitihani kisa ada serikali ya mama Samia imeongezea mikopo wanafunzi wengi Hadi kufikia100% January Mwaka huu nenda udsm ukapate takwimu wanafunzi wa mwaka wa pili karibu wote serikali imewapta 100% nafikiri ni vyuo karibu vyote wanaendelea kupata mikopo hii taarifa yko haina ukweli wowote unapotosha umma.Nb tunaomba heshima Kwa serikali ya mama kazi inayofanyika ni kubwa sana

Wananchi tukutane kwa mkapa
23/01/2023

Wananchi tukutane kwa mkapa

Trust the process the God is living 🙏🙏🙏
18/01/2023

Trust the process the God is living 🙏🙏🙏

Hagai 2:9 Utukufu wa mwisho utakuwa mkubwa kuliko wa mwanzo
15/01/2023

Hagai 2:9 Utukufu wa mwisho utakuwa mkubwa kuliko wa mwanzo

Ilikua ibada nzuri yenye Baraka tele kkkt ubungo
20/11/2022

Ilikua ibada nzuri yenye Baraka tele kkkt ubungo

Happy birthday to me
20/11/2022

Happy birthday to me

Kaka yangu nimesikiliza mahojiano yako na kaka Heche nimepata machache kati ya mengi ya kuzungumza1:Hoja za Heche Wala h...
19/11/2022

Kaka yangu nimesikiliza mahojiano yako na kaka Heche nimepata machache kati ya mengi ya kuzungumza
1:Hoja za Heche Wala hapakua na kazi ya kujibu hivi Leo mtanzania gani hajaona vituo vya Afya vilivyijengwa na serikali ya ccm Leo watu wanapata huduma bora na serikali unaendelea kujenga na kuboresha vilivyopo kwani haoni?

2:Miaka 60 ya uhuru je ni kweli Tanzania haijapiga hatua yoyote ya Maendeleo Heche anatembea mikoa mbalimbali na fikiri kila anapopita anaona alama serikali ya ccm inayoweka.

3: Kaka Heche chama chako kimejinasibu k**a chama cha Demokrasia he ni kweli hakuna mtu mwenye sifa ya kuwa mwenyekiti?

4:Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe hivi kazi ya Mh Raisi kujitoa kucheza filamu ya Royal tour ni kweli hatujaona faida yake idadi ya watalii wanaokuja takwimu hatuoni nafikiri ifike muda tuunganishe nguvu kuijenga Tanzania sio kubishana bila msingi

Nb: Kaka Heche na chama chako naomba kujua makao makuu ya chama chenu Ili muweze kushika dola mazuri yaanze kuonekana nyumbani chama kukijenga mmeshindwa Nchi mtaweza kweli?

Unaweza kuwaza Yanga imewezaje kuwa na mchazaji mkubwa k**a huyu ukakosa majibu hebu chukua haya.1:Yanga Kwa Sasa Ina vi...
07/10/2022

Unaweza kuwaza Yanga imewezaje kuwa na mchazaji mkubwa k**a huyu ukakosa majibu hebu chukua haya.

1:Yanga Kwa Sasa Ina viongozi vijana na wenye maono makubwa naweza sema kuliko club nyingine yoyote ukanda huu wa Cecafa.

2: Raisi wa club wa kwanza ni kijana mwenye kiu na shauku kubwa ya mafanikio mipango na mikakati yake Kwa club ni sababu inayowavutia wachezaji wengi kutamani kuja kucheza.

3: Uwekezaji unaofanywa na wadhamini na wawekezaji GSM ,Taifa gas, Azam tv nk ni moja ya sababu inayofanya kuwepo na uhakika wa kulipa maslahi mazuri ya wachezaji na benchi la ufundi .

4: Baada ya kupata uhakika namna club inavyoendesha mambo yake inavyojali wachezaji wake hakuna mchezaji anaweza kataa kuja kucheza yanga imejipambanua Kwa kuwajali wachezaji wake hata wanapopata majeraha wamekua wakipatiwa matibabu Hadi wapone na sio kuvunja mikataba k**a vilabu vingine.

5:Hakika chini ya uongozi wa Eng Hersi yanga inakwenda kuwa moja ya club kubwa na tajiri Africa muda utaongea

Nb: Pasi moja ya 🗝️ ilipeleka Taifa kuwa na utulivu na kuheshimu wachezaji wakubwa Kwa mechi kubwa.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Munga clothing posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Munga clothing:

Share