True love kwanza

True love kwanza # love Kwanza # # Kazi yetu ni Kutengeneza imani ili nafsi zetu zipate kuamini kuwa mapenzi ya ukweli yapo.

Niki post msipeleke taalifa majirani,Maana inakuwa k**a kinyesi kinachoshuka kwenye tundu ya Choo sasa ao Mende,Ah  Spen...
02/10/2024

Niki post
msipeleke taalifa majirani,
Maana inakuwa k**a kinyesi
kinachoshuka kwenye tundu ya Choo sasa ao Mende,
Ah Spendi jamani, nawajua ntakuja Ku Brock mbwa wote,
endeleeni 2.

Watoto wa 2000Wanasema et nimezaliwa2002 Iv wanaakiri Kweli..? NEW TIME,NEW  SEASON AND MY NEW AGE,30/9/2024 THANKS GOOD...
03/09/2024

Watoto wa 2000
Wanasema et nimezaliwa
2002 Iv wanaakiri Kweli..?

NEW TIME,
NEW SEASON
AND MY NEW AGE,

30/9/2024 THANKS GOOD.

Osu Kanyamala ♥️🙏♥️

Akuna utachofanya     kisiangaliweNa akuna utachosema     Kisijadiliwe,Machawa kilakona wapowanasibili  Tu anguko lako,M...
19/08/2024

Akuna utachofanya
kisiangaliwe
Na akuna utachosema
Kisijadiliwe,

Machawa kilakona wapo
wanasibili Tu anguko lako,
Muhimu nikupambana,
We pambania t maisha yako.

The Kanyamala one
Osu Kanyamala
The FB regard,
Baba wa familia,
Mr True love kwanza
Osu star.
♥️♥️♥️🚔🚔🚔

Mr true love kwanza
16/12/2021

Mr true love kwanza

Utawezaje kufanya mapenzi  kwa siku ama zaidi bila kuchoka na bila kumchosha mpenzi wako?Vitu vikuu vya kuzingatia vipo ...
28/12/2020

Utawezaje kufanya mapenzi kwa siku ama zaidi bila kuchoka na bila kumchosha mpenzi wako?

Vitu vikuu vya kuzingatia vipo vitatu

1, Nilazma uwe umeiandaa saikorojoa yako na ya mwenzio vizuri,

2, kuakikisha miili yenu haina uchovu uchovu wala misongo ya mawazo ya muda mlefu,

3, na lamwisho nilazima uonyeshe upendo wa kweli kwa siku iyo na nilazma uwe na uchumi wa siku ili kuiimalisha siku iyo,

Kwa kufanya ivyo kutaijenga ile hali ya kujiamini, na kutakufanya ufuraiye na uutumie muda mwingi ku enjoy penzi na mpenzi wako,

Maisha ni upendo,  na upendo ni maisha,Uwezi kuishi bila upendo kwa sababu ya malengo,Nauwez kuishi na malengo bila upen...
01/10/2020

Maisha ni upendo, na upendo ni maisha,

Uwezi kuishi bila upendo kwa sababu ya malengo,
Nauwez kuishi na malengo bila upendo,

Maisha nifumo unaotegemeana sana kwa wengi wanaobuni njia zao huugulia myoyoni mwao, kwa maana mungu sio wao, alie lipanga yeye sio walipangalo wao.

JEMBE...!Mambo vp guyz!  "true love kwanza tunakutana tena apa apa kwa yaleyale karibuni sana...!!Leo tunataka kumuona j...
16/01/2019

JEMBE...!

Mambo vp guyz! "true love kwanza tunakutana tena apa apa kwa yaleyale karibuni sana...!!

Leo tunataka kumuona jembe ni mtu waaina gani? km niwakike au wakiume mtu jembe anastaili sifa gani?

KWANZA KABISA NIANZE KWA KUTOA MAANA HALISI YA JEMBE, KIUARISIA JEMBE NI MSEMO ULIOBUNIWA MTAANI KWA UMAANA YA MTU MKOMAVU AU UVUMILIVU NIYULE MWENYE UWEZO KIUTENDAJI KWAKUPIGA KAZI AMA KWA MAMBO MENGI YA KIBINAADAM YA USANIFU PIA WA AKIRI,

Mtu yoyote jembe afanyapo jambo huwa nitegemeo popote pale, Jembe ni siraha kamilifu inayoweza kusaidia jambo lolote lile liwe kwa shida ama kwahara, jembe nimtu mwenye uwezo wakupambana nahali Kwa umakini na kwa uvumilivu mkubwa, Jembe ninguzo iliyoimara yenye msaada ama kujisaidia maali popote, "JES UYO NIJEMBE"

Ningumi jembe kupagwa, Jembe ujipanga Kwa umalidadi MKubwa ili kuleta chachu halisi ya yeye nijembe, AWE MWANAMKE AWE MWANAUME NGUVU BILA UWEZO WAKUFIKIRI, AUWEZ KUWA JEMBE! UKIONA UNASIFAZOTE ZAKUWAJEMBE LAKINI BADO UPO CHINI YA FIKRA ZA WATU WEWE NIFECK JEMBE......!!

Penzi ukilipoteza Wenzio wataliokota tu!Abali wana page wenzangu Wa True love kwanza ni yule yule mtuwenu brother osu  L...
10/01/2019

Penzi ukilipoteza Wenzio wataliokota tu!

Abali wana page wenzangu Wa True love kwanza ni yule yule mtuwenu brother osu Leo ninamada fupi nataka kuliweka wazi kwa upana zaidi
: ::KWANINI UKILITUPA WATALIOKOTA::

Unapokua mkoseaji Wa makosa ya mala Kwa mala nilazima wakati mwingine ujiulize ni wapi unapo kosea! Wakati mwingine unaweza kuwa sawa Kwa fikra zako tu Kwa jinsi unavyo jiona wewe na isiwe sawa, Binaadam tumeumbwa kuwa ni sehem ya changamoto nalengo ni tofauti ili tulete maana halisi ya maisha,

Nilazma tujue ni wapi tunakosea ili tusiwafanye wapenzi wetu watukimbie, Zipo nyia nyingi zakulifanya penzi lako kuwa imala nalenye nguvu, Nilazima uwe tayari Kwa kilakitu,
Nilazima uwe mwepesi wakujua nakuelewa,
Nilazima pia ujue kuuliza kupokea nakufanya maamuzi,
Nilazima uwe mwepesi Wa mabadiliko,
Nilazima uwe mbunifu,
Nilazima pia ujue mwenzio anajickiaje,

Hizi ninjia baadhi tu k**a ukiamua kuzifanya ili udumisha penzi lako, Njia nyingine kubwa ni kuwa mkweli kwakila jambo Kufanya hivyo kutamfanya mpenzi wako kuwa NA furaa NA kukuamini daima,

Mapenzi ni akili na viubunifu kidogo kufanya hiv kutawafanya muishi bila kuchokana Kwa muda mlefu zaidi,

"JIFUNZE"

Binaadam tumeumbwa na tamaa sana Kwa vile ulivyo ndivyo watu wanavyokuona, Vipo Vitu vizur ulivyonavyo lakini wenye kujua thamani yake niwachache sana, Wengi upenda Kwa kuonatu lakini wakipewa nafasi hupoteza thamani yote, hivyo tuwe makini Kwa machaguo tunayo yafanya!

"MWISHO"

ATA MPENZI WAKO AKOSEE VIPI EPUKA KUTOA TOA SIRI ZA MAPENZI YENU, KUMBUKA NINI MAANA YA NENO SEHEM ZA SIRI,

WAPO WEPESI WAKU CREM NA KUTENDA, WAPO WALIOPENDA NA KUTENDWA WAPO WALIOKOSEA NA KUJIFUNZA, WOTE WANATAFUTA NAFASI HIVYO JITAIDI SANA KUWAJUA WATU HAO.

".                        MSAMAHA"    Msamaha nijambo la busara sehem yoyote,   Msamaha ni njia pia ni ngao msamaha ni s...
09/01/2019

". MSAMAHA"

Msamaha nijambo la busara sehem yoyote, Msamaha ni njia pia ni ngao msamaha ni sehem ya maisha kokote utapoutumia hakika utafanikiwa, Napenda kuomba msamaa pale ninapo kosea Naamini kukosea ni sehem ya maisha yetu hivyo ni muimu kumuomba msamaa Kwa chochote ama yeyote nilie mkosea,

Msamaha ni nuru yani mbali na kuangaza lakini umulika, ufanyaivyo kwaajili yakuleta tija kwa sehem husika! Msamaa Huniangaza ndani na nje ya moyo wng Yani kwa vyovyote vile nafsi yangu ufurahi kwa kupokea ama kuomba msamaa!

SOMA

Amani na furaha Kwa mwelevu huja Kwa kukubali na kutambua thamani ya neno msamaha, Yeyote asiejua umuimu Wa msamaha daima ningumu ata kuelewa nini maana ya haya tunayoeleza,
Wapo watu hutumia neno masamaha k**a njia yakupoza jambo ama kutuliza plesha kwakile walichokosea, Wapo pia baadhi ya wengine hutumia neno msamaa k**a sifa yakuonekana wao et ni mashujaa, Wapo watu mbalimbali hutumia pia njia za msamaa km sehem ya maisha katika malengo yao waliyojipangia,

Leo ninaJibu moja tu kwamba msamaha ninjia yaukweli iliyobarikiwa Kwa lengo lakumthamini yeyeto alie kamilika, K**a unaamini juu mungu nilazima ujue nini ukamilifu Yeyote mkamilifu nilazma awe na mapungufu Nahuu msamaha ndonjia ya ukamilifu!

Yeyote aombae msamaa nilazima ajue hili pili ili asamehewe nilazima aeleze kilichopungua katika ukamilifu wake apo ata mungu amemsamehe.

"ALSANTENI"

Abali zenu wanandugu wale wakeleketwa Wa page group yetu ya TRUE LOVE KWANZA TAFSILI halisi ya page yetu nikuchambua ama...
09/01/2019

Abali zenu wanandugu wale wakeleketwa Wa page group yetu ya TRUE LOVE KWANZA
TAFSILI halisi ya page yetu nikuchambua ama kuelezea uhalisia halisi juu ya upendo Wa kweli
Kwa namna moja ama nyingine tunapaswa kumshukulu sana mungu Kwa upendo wa kweli kwetu kwakuendelea kuitunza page yetu tangu ilipo anza mpk sasa ilipofikia,

Mpaka sasa page yetu inatimiza miaka kadhaa tangu ianzishwe, zipo faida na hasala tulizopata tangu page yetu ianze lakinipia zipo changamoto mbalimbali zilizo fanya page yetu ishindwe Kwenda mbele zaidi

Wengi wamenipigia cm wengine wameni txt wakitaka tuiboreshe kdg page yete ili kutoa huduma sawa kwa maana ya mala Kwa mala uli page yetu kuwa huru,

BINAFSI sina neno naaidi kufanya hivyo kwajinsi wana page wanavyotaka na ikumbukwe tu page hii ni yawana page wenyewe

NITOE SHUKRANI KWA WOTE MNAE SAPORT PAGE HII KWANAMNA MOJA AMA NYINGINE, NAJUA WENGI MPO NAMIMI NA NIWAAMBIE TU MCHANGO WETU UNANIFIKIA IPASAVYO, MAPENZI YENU NI MAKUBWA SANA NA NDIO MCHANGO BORA KWETU SISI SOTE,

Me naamini Siku zote kitu kizuli akikosi kasoro namimi nakubali changamoto zetu na tutazifanyia kazi inshaallah,

Nawapenda sana
By *osu brother..* pc guyz!!

Unaweza kupishana na mpenzi wako Kwa  kosa la kushindwa kujua wapi unapokosea,Yeyeto asie na uwezo wakujua makosa yake n...
08/01/2019

Unaweza kupishana na mpenzi wako Kwa kosa la kushindwa kujua wapi unapokosea,

Yeyeto asie na uwezo wakujua makosa yake niwazi yaweza ikachangiwa na umri au malezi kwajinsi alivyolelewa,

Mtu yoyote mwenye rika lakuolewa ama kuoa nilazima ifike atua ajue nini anafanya hii itamsaidia pale atapokutana na jambo lolote ataweza kulitatua kwa ufanisi zaidi,

Yeyeto mwenye lika nilazima atumie akirizake ili afanikishe maitaji yake na
Ikifikia atua eti bila ushauli uwez kutoa jibu la matatizo yake niwaz yeye nifek

Mtu fek si chiz wala taaila Fek niaina yamtu asie nauwezo wakupanua fikra zake nakuona mambali zaidi

NJIA

NILAZIMA TUMSAIDIE MTUHUYU KWA NAMNA YOYOTE ILE, JAPO WATUK**A AWA MALANYINGI UJIONA WAO NIBORA KULIKO KITU CHOCHOTE, MALA NYINGI WATU HAWA HUSHINDWA KUJUA PIA K**A WANAKOSEA MALA NYINGI UJIONA WAPO SAWA ATA KWA JAMBO LA KUSHAULIWA, PALE UNAPOWAKOSOA UJUA KWA MUDA NA BAADAE ULUDIA TENA KOSA LILE LILE ATAK**A ALIOMBA MSAMAA, WATU K**A HAWA WANAITAJI HUDUMA YA VITENDO ILI WAJUE!

UNAWEZA KUTAKA KUMSAIDIA NA AKAOMBA USHAURI PIA ATA KWA LILE UNALOTAKA KUMSAIDIA, NILAZIMA UTUMIE NJIA MBADALA IKIWEMO YA KUMUACHA APATWE NASHIDA ILI AJIFUNZE KWA VITENDO.

AKUNA KITU KINAUMIZA K**A UKIKUMBUKA BAADHI YA MAMBO FLANI ULIYOKUWA UNAFANYA  KIPINDI UPO NA MPENZI WAKO,UNAWEZA KUPATA...
08/01/2019

AKUNA KITU KINAUMIZA K**A UKIKUMBUKA BAADHI YA MAMBO FLANI ULIYOKUWA UNAFANYA KIPINDI UPO NA MPENZI WAKO,

UNAWEZA KUPATA MSONGO WA MAWAZO, UNAWEZA KULUHUSU MWILI KUKONDA, UNAWEZA KUPATWA NA MARADHI YA MOYO PRESHA NAATA KUKOSA HAMU MBALIMBALI ZAKUFANYA VITU FLAN BINAFSI,

MAPENZI YA KWELI YAPO NA YANATESA SANA HASA PALE UTAPOPISHANA AMA KUWA MBALI NAYULE UNAE MPENDA,

ZIPO NJIA ZINAWEZA KUKUSAIDIA KWA HILI...

KWANZA NIKUJITAMBUA NA KUJUA KOSA LILIPO THEN KULIFANYIA KAZI!

NILAZIMA UPIME UWEZO WA TATIZO LAKO, "K**AUPOMBALINAE NILAZIMA UTAFUTE NJIA YAKUWANAE KARIBUKWANZA" KITENDO CHAKUANAE KARIBU KITAWAFANYA KUTULIA KUONGEA VIZURI NAMWISHO KUELEWANA, NILAZIMA MUELEWANE KWASABABU TAYARI MPO WOTE KARIBU,

NJIA YAPILI KWA WALE MLIPISHA! K**A IKAFIKIA ATUA MKAACHANA NILAZIMA UANGALIE KOSA LILIPO,

USIJE KUANZISHA WEWE MAUSIANO MAPYA WAKATI WEWE NI MTENDEWA! KUMBUKA YAPO MAMBO MENGI WAPENZI HUFANYA LAKINI KWAKOSA NILAZIMA MKOSEAJI AKIRI KOSA NA AELEZE VIZURI KWANINI ALIKOSEA,

TUELEWE KUSHINDWA KUFANYA HIVYO HAKUTOWEZA KUMFANYA HURU MTENDEWA, KUTOFANYA HIVYOPIA KUTAMFANYA MTENDEWA KUTORIDHIKA DAIMA KWASABABU TU YAMTENDEWA KUSHINDWA KUJUA UKWELI NA WAPI MPENZI WAKE ALIPOTELEZA,

"OMBI" MTENDEWA NI MARUFUKU KULAZIMISHA MAPENZI YALUDI KWA SABABU KUFANYA HIVYO KUTASHUSHA HESMA NA NGUVU YA PENZI YENU, INATAKIWA KILA MTU AWENA UWEZO WAKUTHAMINI NAKULINDA UHUSIANO MLIOUJENGA,

K**A LIPOKOSA NA UJAANZISHA WEWE NIHELI UHUSIANO UFE KULIKO WEWE KUJISHUSHA KWAKOSA USILO LIANZISHA,

IFAHAMIKE YUPO MTENDA KOSA ALIESABABISA ASIE NAKOSA KUKOSEA NA YUPO MKOSEAJI ANAESABABISHA PENZI KUFA!
NILAZIMA YULE ALIEANZA KUKOSEA AKIRI MAKOSA YAKE KWANZA THEN MENGINE NDO YAFATE.

BY MR TRUE "ALIEZALIWA NA LOVE ZAKE CHIFU OSU 4REVER"

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when True love kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share