Mkulimasolution

Mkulimasolution "Kutoka Jembe hadi Mashine – Tuko Pamoja!"
mashine / bidhaa za KILIMO
mashine / bidhaa za UFUGAJI
mashine

29/07/2026

TUNAUZA MASHINE KUBWA YA KUKOBOA MPUNGA | MASHINE YA RICE MILL

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“±
πŸ•– Muda wetu wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
πŸ“ Ofisi zetu zipo Tegeta - Dar es Salaam

β€”

MASHINE KUBWA YA KUKOBOA MPUNGA ni mashine maalumu yenye uwezo mkubwa wa kukoboa mpunga kwa haraka na kwa kiwango kikubwa kuanzia kilo 700 hadi 1000 kwa saa.

πŸ”§ Sifa za Mashine Hii:

Ina motor yenye nguvu kubwa

Inakoboa mpunga kwa haraka bila kupoteza nafaka

Inatoa mpunga safi na mweupe tayari kwa matumizi au biashara

Inafaa kwa wakulima wakubwa, vikundi vya kilimo, ushirika na wafanyabiashara wa mpunga

β€”

πŸ’‘ Faida za kutumia mashine hii:

Kuokoa muda na gharama ya kukoboa mpunga kwa mikono au kwa mashine duni

Kuongeza thamani ya mazao yako

Kurahisisha biashara na kuongeza kipato

β€”

MKULIMA SOLUTION tunauza mashine hizi kwa bei nafuu na tunatoa ushauri jinsi ya kuitumia na kuitunza.

β€”

πŸ“ Fika ofisini kariakokoo au wasiliana nasi kwa:

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

kilimobiashara mashinezakilimo agriculturetools kilimotanzania tanzania mpunga bustani wakulima

MKULIMA SOLUTION | TEGETA - DAR ES SALAAM

TUNAUZA RICE THREASHER (PAD MACHINE) | MASHINE YA KUPIGA MPUNGA KWA HARAKA NA UHAKIKAπŸ“ž +255 658 375 861πŸ“± MKULIMA SOLUTIO...
28/07/2026

TUNAUZA RICE THREASHER (PAD MACHINE) | MASHINE YA KUPIGA MPUNGA KWA HARAKA NA UHAKIKA

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“± MKULIMA SOLUTION | KILIMO NA UFUGAJI
πŸ•– Muda wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
πŸ“ Ofisi zetu zipo Tegeta - Dar es Salaam

β€”

RICE THRESHER (Pad Machine) ni mashine bora kwa wakulima wa mpunga wanaotaka kupiga mpunga kwa ufanisi mkubwa bila kutumia nguvu nyingi za mikono.

πŸ”§ Specifications:
βœ… Inapiga mpunga kwa kasi kubwa na kwa usafi
βœ… Ina uwezo wa kuchakata mazao kwa haraka
βœ… Inaokoa muda, nguvu na gharama
βœ… Inafaa kwa mashamba madogo hadi makubwa
βœ… Imetengenezwa kwa vifaa imara na vya kudumu

β€”

πŸ’° BEI YA RICE THRESHER (PAD MACHINE):
➑️ Wasiliana nasi kwa bei ya ofa na maelezo zaidi

β€”

MKULIMA SOLUTION tunakuletea mashine bora na zenye ubora wa hali ya juu kwa ajili ya shughuli za kilimo na usindikaji. Tunauza mashine imara zilizojaribiwa kwa mazingira ya Tanzania.

πŸ“ Tembelea ofisi zetu zilizopo Tegeta - Dar es Salaam, au wasiliana nasi moja kwa moja kwa:

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

mkulimasolution kilimobora kilimokisasa tanzania kilimo2025 agriculturetz

TUNAUZA DIESEL ENGINE ZA KISASA – NGUVU, IMARA & ZINAZODUMU πŸ”₯βš™οΈ Diesel Engine bora kwa mashine za kilimo & viwandani – z...
28/07/2026

TUNAUZA DIESEL ENGINE ZA KISASA – NGUVU, IMARA & ZINAZODUMU πŸ”₯

βš™οΈ Diesel Engine bora kwa mashine za kilimo & viwandani – zinatumia mafuta kidogo, zina nguvu kubwa na hudumu muda mrefu.

πŸ’ͺ Power Options: 8HP | 16HP | 18HP | 24HP | 30HP
🏭 Brands: ROYALITY | JD | AMEC

πŸ”§ Zinafaa kwa: Power Tiller, Water Pump, Rice/Flour Mill, Chaff Cutter, Generator, Mashine za viwandani & boti.

🎯 Faida:
βœ… Nguvu kubwa
βœ… Zinadumu muda mrefu
βœ… Umatumizi mdogo wa mafuta
βœ… Spare parts zinapatikana

πŸ›‘οΈ Warranty & Huduma:
πŸ› οΈ Warranty mwaka mzima
🚚 Tunasafirisha mikoani
πŸ‘¨β€πŸ”§ Huduma baada ya mauzo

πŸ“ Tegeta – Dar es Salaam
πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861
πŸ“± MKULIMA SOLUTION | KILIMO NA UFUGAJI

πŸ‘‰ Agiza Sasa – Tunakuhudumia Haraka!

25/07/2026

TUNAUZA COMBINE RICE MILL MACHINE | INAKOBOA MPUNGA | INAPEPETA | INAGRADE MCHELE

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“±
πŸ•– Muda wetu wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am – 11:00pm)
πŸ“ Ofisi zetu zipo Tegeta – Dar es Salaam

β€”

COMBINE RICE MILL MACHINE ni mashine maalumu inayofanya kazi mbili kwa wakati mmoja:
βœ”οΈ Inakoboa mpunga kuwa mchele
βœ”οΈ unapepeta mpunga

βœ… Uwezo wa uzalishaji: KG 700 kwa Saa
βœ… Inatumia Motor ya Single Phase (inafaa kwa umeme wa kawaida wa nyumbani)
βœ… Inafaa kwa wakulima, wasagaji wadogo na wa kati
βœ… Inarahisisha kazi na kuokoa muda pamoja na gharama

β€”

FAIDA ZA MASHINE HII:
πŸ”Ή Mashine moja – kazi mbili
πŸ”Ή Rahisi kuendesha
πŸ”Ή Inafaa kwa matumizi ya biashara na nyumbani
πŸ”Ή Imara na ya kudumu

β€”

πŸ“ Tembelea ofisi zetu Tegeta – Dar es Salaam
au wasiliana nasi moja kwa moja kupitia:

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

kilimobiashara mkulimasolution tanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ tegeta mashinezauzalishaji

MKULIMA SOLUTION | DAR ES SALAAM

24/07/2026

TUNAUZA MASHINE NDOGO YA KUPUKUCHUA MAHINDI (MAIZE SHELLER)
Yenye uwezo wa kupukuchua kilo 1000 kwa saa

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“²
πŸ•– Muda wa kazi: saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

πŸ“ Ofisi: Tegeta – Dar es Salaam

βΈ»

Mashine hii ni suluhisho bora kwa wakulima na wafanyabiashara wa mazao ya nafaka.
Inafanya kazi kwa haraka, kwa ufanisi na hupunguza gharama za ajira.
Ni rahisi kutumia na inaweza kusafirishwa kwa urahisi kutokana na ukubwa wake mdogo.

βœ… Uwezo: Inapukuchua mahindi kilo 1000 kwa saa

βΈ»

Faida za Mashine hii:
βœ”οΈ Inapunguza muda wa kazi
βœ”οΈ Inasaidia kuhifadhi ubora wa mahindi
βœ”οΈ Inaweza kutumika mashambani au nyumbani
βœ”οΈ Ni rahisi kutumia na kumiliki
βœ”οΈ Inafaa kwa wakulima wadogo na wa kati

βΈ»

πŸ“ Tembelea ofisi yetu Tegeta au wasiliana nasi:
πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

βΈ»

tanzania kilimobiashara vifaa agriculturetools

MKULIMA SOLUTION | DAR ES SALAAM

23/07/2026

TUNAUZA COMBINE RICE MILL MACHINE | INAKOBOA MPUNGA | INAPEPETA | INAGRADE MCHELE

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“± MKULIMA SOLUTION | KILIMO NA UFUGAJI
πŸ•– Muda wetu wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am – 11:00pm)
πŸ“ Ofisi zetu zipo Tegeta – Dar es Salaam

β€”

COMBINE RICE MILL MACHINE ni mashine maalumu inayofanya kazi mbili kwa wakati mmoja:
βœ”οΈ Inakoboa mpunga kuwa mchele
βœ”οΈ unapepeta mpunga

βœ… Uwezo wa uzalishaji: 700kg kwa Saa
βœ… Inatumia Motor ya Single Phase (inafaa kwa umeme wa kawaida wa nyumbani)
βœ… Inafaa kwa wakulima, wasagaji wadogo na wa kati
βœ… Inarahisisha kazi na kuokoa muda pamoja na gharama

β€”

FAIDA ZA MASHINE HII:
πŸ”Ή Mashine moja – kazi mbili
πŸ”Ή Rahisi kuendesha
πŸ”Ή Inafaa kwa matumizi ya biashara na nyumbani
πŸ”Ή Imara na ya kudumu

β€”

πŸ“ Tembelea ofisi zetu Tegeta – Dar es Salaam
au wasiliana nasi moja kwa moja kupitia:

πŸ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

kilimobiashara mkulimasolution tanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ tegeta mashinezauzalishaji

MKULIMA SOLUTION | DAR ES SALAAM

23/07/2026

TUNAUZA CHAINSAW HEAVY DUTY KWA BEI YA OFA!

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“² MKULIMA SOLUTION | KILIMO NA UFUGAJI
πŸ•– Muda wa kazi: Saa 1 Asubuhi – Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

πŸ“ Tegeta – Dar es Salaam

β€”

πŸ”₯ CHAINSAW zenye nguvu na ubora wa hali ya juu kwa matumizi ya kilimo, biashara na ujenzi!

BEI ZA OFA:
πŸ”Ή Dahfa 350,000/=
πŸ”ΉChainsaw 5800 - 350,000
πŸ”Ή 272 Dahfa 850,000/=
πŸ”Ή 272 Hurqvana 2,000,000/=
πŸ”Ή Sthil 2,000,000/=

β€”

βœ… Faida za Chainsaw zetu:
βš™οΈ Ni imara na zinadumu muda mrefu
🌳 Zinakata miti kwa kasi na ufanisi mkubwa
πŸ’ͺ Zinafaa kwa wakulima, mafundi mbao na wachakata miti
⏱️ Husaidia kupunguza muda na nguvu kazi

β€”

MKULIMA SOLUTION tunauza chainsaw za ukubwa na uwezo tofauti kulingana na matumizi yako.

πŸ“ Tembelea ofisi zetu au wasiliana nasi kwa:
πŸ“ž Call / WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

kilimo biashara TanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ DarEsSalaam Bagamoyo

MKULIMA SOLUTION | DAR ES SALAAM

23/07/2026

TUNAUZA CHAFF CUTTER MASHINE ZA KUKATIA MAJANI YA MIFUGO | MASHINE ZA MALISHO | MASHINE ZA KULISHA MIFUGO

πŸ“ž +255 658 375 861
πŸ“² MKULIMA SOLUTION | KILIMO NA UFUGAJI
πŸ•– Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)

πŸ“ Tegeta Wazo Hill – Dar es Salaam

β€”

CHAFF CUTTER ni mashine maalumu kwa ajili ya kukata majani, mabua, nyasi, pumba na malisho mengine ya mifugo kwa vipande vidogo ili kurahisisha ulaji na kuongeza ufanisi wa lishe kwa mifugo.

πŸ”Ή Inafaa kwa:

Wafugaji wa ng’ombe, mbuzi, kondoo, na nguruwe

Mashamba makubwa ya ufugaji

Vikundi vya wafugaji na wakulima

β€”

βœ… Faida za kutumia Chaff Cutter:

Huongeza ufanisi wa ulaji wa chakula kwa mifugo

Hupunguza upotevu wa malisho

Huharakisha kazi kwa muda mfupi

Inaokoa nguvu kazi na muda

Inaongeza uzalishaji wa maziwa na nyama

β€”

MKULIMA SOLUTION tunauza chaff cutter za ukubwa tofauti tofauti – ndogo, za kati, na kubwa – kulingana na mahitaji yako.

β€”

πŸ“ Tembelea ofisi zetu au wasiliana nasi kwa:
Call / WhatsApp: +255 658 375 861

β€”

mashinezamajani mifugo kilimobiashara mkulimasolution mkulima_solution ufugajibora TanzaniaπŸ‡ΉπŸ‡Ώ kilimotz DarEsSalaam Bagamoyo

MKULIMA SOLUTION | DAR ES SALAAM

Address

Kariakoo
Dar Es Salaam

Telephone

+255683522630

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkulimasolution posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share